Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 16, 2012

CUF YASHINDA VIJIJI 5 NA VITONGOJI VITANO UCHAGUZI WA MARUDIO RUFIJI



CUF-Chama cha Wananchi kimejinyakulia jumla ya vijiji 5 na vitongoji 5 kwenye chaguzi za marudio katika wilaya ya Rufiji.Matokeo yaliyotangazwa  rasmi jana  ambapo yalikuwa ni ya uchaguzi wa serikali za vijiji 12 na vitongoji 15.
Katika matokeo hayo matokeo ya  kitongoji 1 yalifutwa  wakati matokeo ya vijiji vitatu yamefutwa baada ya wagombea ya gombea wa CUF kuenguliwa kutokana na mapingamizi mbalimbali yaliyowekwa na vyama pinzani na matokeo kuwa na utata.
Hata hivyo CUF walinyakua vijji vitano,CCM  nane na Chadema vitatu.Kwa upande wa vitongoji CUF wamepata vitongoji vitano ,CCM  tisa ,Chadema hawakuambulia kitu.Hata hivyo  matokeo ya  kitongoji kimoja yalifutwa.

No comments :

Post a Comment