Afisa
Utawala wa Global Publishers, Sudi Kivea (wa kwanza kushoto), akiwa na
Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Benjamin Mwanambuu (katikati),
wakimkabidhi kombe hilo ofisa mwandamizi wa polisi wa Kinondoni, Wilbrod
Mutafungwa, kituo cha Oyster Bay jijini Dar leo.
KAMPUNI
ya Global Publishers Ltd inayochapicha magazeti ya Ijumaa Wikienda,
Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi leo imekabidhi kombe la ligi
ya polisi jamii ikiwa mdhamini wa ligi hiyo iliyoanza kutimua vumbi
tangu Julai 9 mwaka huu.
No comments :
Post a Comment