Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 12, 2012

JAMBELE AMTUNISHIA 'KIFUA' MANJI YANGA




Mgombea Uenyekiti wa klabu ya Yanga katika uchaguzi wa Jumapili, Diamond Jubilee, Dar es Salaam, John Jambele akimwaga sera zake mbele ya Waandishi wa Habari ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) asubuhi hii mjini Dar es Salaam. Jembele atachuana na Edgar Chibura na Yussuf Manji anayepewa nafasi kubwa ya kushinda katika kinyang'anyiro cha nafasi hiyo.
You might also like:

No comments :

Post a Comment