Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 19, 2012

MATUKIO YA SHOO YA LEKADUTIGITE YA ALL STARS MJINI KIGOMA


 

 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, akizungumza kabla ya kuanza rasmi kwa Shoo kabambe ya All Stars wa Kigoma, iliyokwenda kwa jina la Lekadutigite, iliyofanyika jana mjini Kigoma.
 Sehemu ya mashabiki waliojitokeza wakishangilia Bonge la Shoo lililokuwa likidondoshwa jukwaani.
 Mmoja kati ya wasanii wa All Stars Kigoma, akishambulia jukwaa.
 Makamuzi yakiendelea jukwaani.
 Wengine ilikuwa tabu kuweza kuona mbele ilibidi kutumia teklnolojia kama hii ili kuweza kuwashuhudia All Stars.
Jukwaa lilifurika na kurindima kama hivi.

No comments :

Post a Comment