Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 11, 2012

MICHUANO YA COPA COCA-COLA TANGA YAINGIA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA DODOMA 1-0




Golikipa wa timu ya mkoa wa Tanga, Fikirin Suleiman akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa timu ya mkoa wa Dodoma, Japhet Lunyungu (kushoto) wakati wa mchezo wa robo fainali ya Copa Coca-Cola uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es salaam. Tanga imeshinda 1-0.
 
Mashabiki wa soka wakifuatilia mchezo kati ya Dodoma na Tanga

No comments :

Post a Comment