Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 11, 2012

Mkuu wa wilaya ya Mvomero mkoa wa Morogoro Anthony Mtaka akagua miradi ya Kilimo



  Mkuu wa wilaya ya Mvomero mkoa wa Morogoro Anthony Mtaka kulia akimsikiliza Mtafiti Kiongozi wa kituo cha Utafiti cha Chollima Reseach Centre cha Dakawa Mvomero, George Iranga kushoto wakati akimpatia maelezo juu ya mradi wa kilimo kwanza katika shamba la wanakikundi wa Jaribu kijiji cha Msufini kata ya Hembeti wilayani humo mkoani hapa. (Picha na Mtanda Blog).
Mkuu wa wilaya ya Mvomero mkoa wa Morogoro, Anthony Mtaka kushoto akimsikiliza mkulima wa kikunndi wa Jaribu katika kijiji cha Msufini kata ya Hembeti, Zuhura Mganza juu ya kilimo cha mahindi wakati mkuu huyo akipotembelea shamba la mahindi la kikundi hicho wakati wa mradi wa kilimo kwanza unaotekelezwa na serikali kupitia taasisi ya sayansi na teknolojia (Costech) ikishirikiana na kituo cha utafiti cha Chollima Reseach Centrea Dakawa kutafiti mbegu bora za mahindi zenye kuvumilia ukame mkoani hapa

No comments :

Post a Comment