Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 16, 2012

MUKAMA AKUTANA NA MWEKEZAJI KUTOKA NIGERIA


Mukama na Ujumbe  wake wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni huyo na Ujumbe wake, mbele ya Ofisi Ndogo ya Makamo Makuu ya CCM, kwenye jengo ilimozaliwa TANU.

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akimkaribisha kwa bashasha, Mwekezaji kutoka Nigeria, Aliko Dangote, wa Dangote Industries Ltd alipowasili Ofisi Ndogo ya Makamo Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam,  Julai 15, 2012, kwa ajili ya mazungumzo mbalimbali ikiwemo namna mwekezaji huyo anavyoweza kufanyakazi na Chama Cha Mapinduzi katika nyanja kadhaa za kibiashara. Katikati ni Balozi wa Nigeria hapa nchini, Dk. Ishaya Nanjabu. (Picha na Bashir Nkoromo).

Mukama na Ujumbe wa mgeni huyo wakiwa katika mazungumzo kwenye ukumbi wa sektretarieti Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM.

Mukama na Ujumbe  wake wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni huyo na Ujumbe wake, mbele ya Ofisi Ndogo ya Makamo Makuu ya CCM, kwenye jengo ilimozaliwa TANU.

No comments :

Post a Comment