Meneja wa Bia ya Ndovu special Malt Pamela Kikuli akizungumza na wadau
mbalimbali waliofika kushuhudia uzinduzi wa muonekano mpya wa bia hiyo
katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam-Kushoto na kulia ni
miongoni mwa wadau wa bia hiyo nchini
Wadau
mbalimbali na baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha bia nchini Tlb
wakitaza sehemu ya mabadiliko ya Bia ya Ndovu kwenye uzinduzi muonekano
mpya wa bia hiyo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam ambapo bia
hiyo iliweza kutambulisha mabadiliko yaliyofanyika kwenye muonekano
wake huku ladha yake ikibakia kuwa ileile.Mabadiliko hayo yalifanyika
baada ya Ndovu kushinda Medali ya Pili ya juu kabisa ya Ubora duniani
ya Grand Gold Quality Medal ya Monder Selection
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment