Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 17, 2012

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA MALAWI, MJUMBE WA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU MALARIA, RAY CHAMBERS NA RAIS KAGAME, AREJEA NCHINI LEO



 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Rais Paul Kagame wa Rwanda wakati wa kikao maalum kilichojadili masuala ya Maziwa Makuu kilichofanyika jana jijini Addis Ababa Ethiopia. Rais Jakaya Kikwete, leo amerejea nchini baada ya kumalizika kwa mkutano huo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Makamu wa Rais wa Malaw, Khumbo Kachali, jijini Addis Ababa Ethiopia wakati wa mkutano wa 19 wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika jana.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akizungumza na Raymond Chambers,  mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika vita dhidi ya Malaria wakati wa kikao maalum cha African Leaders Malaria Alliance (ALMA) kilichofanyika jijini Addis Ababa jana.

No comments :

Post a Comment