Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 17, 2012

SHINDANO LA MISS MOROGORO 2012 LILIVYOFANYIKA MOROGORO HOTELI.




Miss Moro Morogoro 2012 Joyce Baluhi katikati akiwa na washindi wenzake, Salvina Kibona mshindi namba kushoto na Irene Thomas mshindi namba tatu mara baada ya kumalizika kwa shindano la Miss Morogoro lililofanyika katika hoteli ya Morogoro Hoteli mwishoni mwa wiki mkoani hapa.
Miss Moro Morogoro 2012 Joyce Baluhi kushoto akiwa na Miss Morogoro 20111, Asha Salehe kulia mara baada ya kumkabidhi taji hilo.
Mgeni rasmi shindano la Miss Morogoro 2012 ambaye ni Afisa Mwendeshaji wa mfuko wa pensheni kanda ya mashariki na kati (PPF) Astronaut Liganga kulia liyesimama akiwa katika picha ya pamoja na Miss Morogoro 2012, Joyce Baluhi aliyekaa, Mratibu wa shindano hilo Frank Kikambako kushoto aliyesimama na warembo wengine walioingia tano bora mara baada ya kutangazwa matokeo na kuwapata washindi.
Hawa ndiyo warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bara kutoka na kuchujwa kupata mshindi wa kwanza, pili na tatu ambao warembo hao watashiriki shindano la Miss Kanda ya Mashariki.

No comments :

Post a Comment