Miss
Moro Morogoro 2012 Joyce Baluhi katikati akiwa na washindi wenzake,
Salvina Kibona mshindi namba kushoto na Irene Thomas mshindi namba tatu
mara baada ya kumalizika kwa shindano la Miss Morogoro lililofanyika
katika hoteli ya Morogoro Hoteli mwishoni mwa wiki mkoani hapa.
Miss Moro Morogoro 2012 Joyce Baluhi kushoto akiwa na Miss Morogoro 20111, Asha Salehe kulia mara baada ya kumkabidhi taji hilo.
Mgeni
rasmi shindano la Miss Morogoro 2012 ambaye ni Afisa Mwendeshaji wa
mfuko wa pensheni kanda ya mashariki na kati (PPF) Astronaut Liganga
kulia liyesimama akiwa katika picha ya pamoja na Miss Morogoro 2012,
Joyce Baluhi aliyekaa, Mratibu wa shindano hilo Frank Kikambako kushoto
aliyesimama na warembo wengine walioingia tano bora mara baada ya
kutangazwa matokeo na kuwapata washindi.
Hawa
ndiyo warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bara kutoka na
kuchujwa kupata mshindi wa kwanza, pili na tatu ambao warembo hao
watashiriki shindano la Miss Kanda ya Mashariki.
No comments :
Post a Comment