Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 18, 2012

TANESCO ILALA NA TEMEKE WACHARUKA, Ni kwenye ukamataji wa wezi wa umeme, mifumo ya kisasa yawangoza kugundua wezi, Ilala yapandisha kizimbani 18 Temeke 13. Makusanyo yaongezeka.




Meneja wa Tanesco kanda ya Temeke Richard Mallamia akiwaonyesha waandsishi wa habari mita iliyochezewa na kuunganishwa umeme kinyume na mfumo wa kawaida ilikuiba umeme kwenye duka mojaenep la Kigamboni ambapo zoezi la kukamata wezi wa umeme linaendelea.
Mafundi wakisoma mita na kuandika kumbukumbu zake kwani mita mbilizipo sehemu moja huku moja ikionyesha haina umeme na yenye umeme hata vikiwashwa vitu vyote ndani umeme haupungui 'hiyo ni Kigamboni'
Wataalamu wa mifumo ya umeme na mafundi wa Tanesco kanda ya Temeke wakiangalia namna mita ilivyochezewa na kuiba umeme kwenye nyumba ya mfanyabishara Jamal Hassan eneo la Kigamboni na kuiba umeme.

Mfanyabishara duka na migahawa ya eneo la Kigamboni Jamal Hassan, akipanda kwenye gari la Tanesco kanda ya Temeke ili kumpeleka kwenye kituo cha polisi kutoa maelezo ya kwanini anaiba umeme.

No comments :

Post a Comment