Taarifa kwa vyombo vya habari
Unganisha intanet katika simu yako na Tigo jamaa
12 June, 2012, Dar es Salaam.. Huduma ya intanet katika simu za mkononi
zinampa mtumiaji fursa ya kuwa karibu na ulimwengu sehemu yoyote
wanayopenda. Ili kuwapa fursa na wengine katika kufurahia vifurusha vya
intanet , Tigo imetayarisha “ timu ya Tigo jamaa’ itakayotembelea maeneo
mbalimbali jijini Dar es salaam kwa kipindi cha wiki moja, ili kusaidia
wateja kuunganisha intanet katika simu zao.
“Tunataka kuongeza uwezo wa wateja wetu katika matumizi ya intaneti
nakuwaunganisha na mtandao” alisema Alice maro, Afisa uhusiano Tigo.
Ili kuwafikia wateja wake kwa urahisi wahudumu wa Tigo watakuwa katika
baadhi ya maeneo ya barabara wakitoa huduma kwa siku 4 kuanzia tarehe
13- 20 july kama ifuatavyo13th July – Ustawi, Africa sana, Kijiweni and
Shekilango. 14th July- Kawe, Mikocheni, Kinondoni and Magomeni19th July
– Mbagala, Mtoni, Kurasini20th July- Mtoni, Tandika, Temeke, Chang’ombe
Wateja wanaweza kuendelea kupata taarifakupitia matangazo yetu au ukurasa wetu wa Tigo Tanzania facebook.
Kuhusu Tigo:
Tigo ni mtandao wa simu za mkononi ya kwanza Tanzania, ilianza biashara
mwaka 1994 na ni mtandao wa simu Tanzania wenye ubunifu wa hali ya juu
na bei nafuu kupita zote nchini. Tigo ni sehemu
ya MillicomInternational Cellular S.A (MIC) na hutoa huduma za simu za
mkononi kwa gharama nafuu na inayopatikana maeneo mengi kiurahisi
kwa wateja zaidi ya milioni 30 katika masoko 13 yanaoibuka
Afrika na Amerika ya Kusini.
Msingi wa mafanikio ya Tigo ni uzingatiaji wa mikakati mitatu ambao,ni
Gharama nafuu, Uwepo na Upatikanaji. Tunajenga dunia ambapo huduma za
simu ni za bei nafuu, zipo na zinapatikana kila mahali na kwa
wote. Hii inahakikisha kwamba wateja wetu wanapata huduma bora zaidi kwa
bei nafuu kuliko zote katika mikoa yetu 26, Tanzania Bara na Zanzibar.
Kwa taarifa zaidi tembelea: www.tigo.co.tz
Imetolewa na:
Alice Maro • PR-Tigo • Simu 255 715 554501
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment