Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 14, 2012

USAILI WA EPIQ BONGO STAR SERCH UMEENDELEA MKOANI MWANZA LEO





Washiriki wakiitwa majina kwa ajili ya kupewa namba kabla ya kuingia kuwaona majaji.
Madam Rita akihojiwa na mwandishi kutoka Barmedas.
Washirki wakifanya mazoezi ya kuimba wakisubiri zamu yao.
 
 
HADI kufikia majira ya saa sita mchana zaidi ya vijana 480 walikuwa wameshafanyiwa usaili kwenye zoezi hilolinaloendelea siku ya leo. Kwenye eneo la usaili kuna watu wa damu salama wakihamasisha watu kuchangia damu na mwamko wa washiriki umekuwa mzuri. Pamoja na usaili, Zantel ilipata nafasi ya kukutana na madiwani wa mkoa wa Mwanza na kuwagawia jumla ya simu za mkononi 50 zilizounganishwa na mtandao wa Zantel chini ya kifurushi cha CUG (Closed User Group) ambao utawawezesha kuongea bure kati yao.

No comments :

Post a Comment