Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 29, 2013

GAPCO TANZANIA YAINGIA MKOA WA TANGA KUFANYA PROMOSHENI YAKE YA GAPCO RELSTAR


Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kulia akimkabizi zawadi kwa Mwakilisha wa Ofisa utamaduni wa Mkoa wa Tanga Bi,Tima Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na
Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kushoto akimkabizi zawadi kutoka Kampuni ya Gapco Tanzania Bw,Amoody Amiri Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na

Wasanii wa  JCB Dominion wakitoa burudani wakati wa promosheni ya Gapco Relstar Oil inanayotengenezwa na Kampuni ya Gapco T LTD Eneo la Makolola  Tanga kutoka kushoto ni Omar Salimu na Jafari Halawi picha na Blog ya  Super D

Wasanii wa  JCB Dominion wakitoa burudani wakati wa promosheni ya Gapco Relstar Oil inanayotengenezwa na Kampuni ya Gapco T LTD Eneo laMkwakwani Tanga  kutoka kushoto ni Omar Salimu Halima Masoud na Jafari Halawi picha na BLOG YA SUPER D

Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kushoto akimkabizi zawadi kutoka Kampuni ya Gapco Tanzania Bw, Keya Juma wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo kwa minji
picha na Blog ya Super D
Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kulia akimkabizi zawadi kwa Mwakilisha wa Ofisa utamaduni wa Mkoa wa Tanga Bi,Tima Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na
TANGA

Wawakilishi  wa Kampuni ya Gapco wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuingia Tanga kwa ajili ya promosheni ya Gapco relstar Oil

WALTER AISAMBAZA 'DORODORO'



Na Elizabeth John
BAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Siachi’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Walter Chilambo ameachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Dorodoro’.

Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, Walter alisema kazi hiyo kaisambaza hivi karibuni na anaomba mashabiki wake waipokee kwa mikono miwili.

“Naimani kazi hii itafanya vizuri katika tasnia hiyo kwani mashairi yaliyopo ndani yake yamesimama na yanaujumbe kwa jamii,” alisema msanii huyo ambaye ni mshindi wa Bongo Star Search mwaka jana.

Akizungumzia uandaaji wa video ya kazi hiyo pamoja na ile ya ‘Siachi’ kwamb ayupo katika hatua za mwisho na anawaomba mashabiki wake wasichoke kumsubiri.


“Nitatangulia kutoa video ya ‘Siachi’ naimani itakua nzuri kutokan ana maandalizi ya muda mrefu, najua mashabiki wanaisubiri kwa hamu ila nawahaidi ipo karibuni wataiona,” alisema

RECHO ANAAMINI


Na Elizabeth John


MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Rachel Haule ‘Recho’, ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Niamini’ ambayo imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio nchini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam Recho alisema, anamshukuru Mungu nyimbo zake zinapokewa vizuri na mashabiki wake, hivyo anajitahidi kukamilisha video ya wimbo huo mwezi ujao ili kuwapa raha mashabiki wake.

“Muziki ni sehemu yangu ya kazi na sipendi mtu aidharau kazi yangu na sipendi kuwaudhi mashabiki wangu, ili kuepukana na hili nimeamua niwe natoa nyimbo ambazo zimeenda shule ili nisiwachoshe wapenzi wangu,” alisema Recho.

Recho, aliwaomba mashabiki wake wasikae mbali na yeye, kwani kuna vitu vingi amewaandalia ambavyo anaamini vitakuwa ni burudani kwao.

Licha ya kutamba na kibao hicho, Recho alishang’ara na nyimbo zake kama, ‘Upepo’, ‘Kizunguzungu’ ‘Nashikuru umerudi’ na nyinginezo

MBASPO MABINGWA AIRTEL RISING STARS MBEYA


 Mshambuliaji wa  Msimamo Youth Educator’s,Saimon Kizito (kulia) akipiga mpira huku beki wa Buguruni Youth Center,Mzee Bazil akijaribu kumzuiya katika mashindano ya vijana  U-17 ya Airtel Rising Stars mkoa wa Ilala,kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam juzi.
  Mshambuliaji wa  Msimamo Youth Educator’s,Adeus Kizito akijaribu kumpiga chenga  beki wa Buguruni Youth Center,Husein Hamza  katika mashindano ya vijana  U- 17  ya Airtel Rising Stars mkoa wa Ilala,kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam juz
 Kiungo wa timu ya Buguruni Youth Center,Razak  Abdalah (wapili kulia) akiwania mpira na beki wa Msimamo Youth  Educator’s, Adam Zogombwa (kulia)  katika mashindano ya vijana  U- 17  ya Airtel Rising Stars mkoa wa Ilala, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam, jezi namba tatu ni Mzee Bazil akijiandaa kutoa msaada kwa mwenzake
Kiungo wa  Msimamo Youth Educator’s,Rajabu Mohamed (katikati) akiwania mpira na wachezaji wa Buguruni Youth Center,Karim Matola  (kushoto) na Razak  Abdalah  katika mashindano ya vijana  U- 17  ya Airtel Rising Stars mkoa wa Ilala,kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam,jezi namba tatu ni Mzee Bazil akijiandaa kutoa msaada kwa mwenzake

UFUNGUZI WA MKUTANO WA SMART PARTNERSHIP DIALOGUE 2013


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na vijana wa umri wa CPTM 29ers waliohudhuria mkutano wa Smart Partneship Dialogue 2013 wakati wa ufunguzi rasmi wa mkuatno huo unaoshirikisha watu zaidi ya 800 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre jijini Dar es salaam Ijumaa Juni 28, 2013
Rais Kikwete na viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika mijadala na vijana wa CPTM 29ers 
Viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika mijadala na vijana wa CPTM 29ers 
Mjadala ukiendelea
Rais wa Sri Lanka akishiriki mjadala na vijana wa CPTM 29ers
Rais Omar Bongo katika mjadala huo
Kijana akichangia
Vijana wakichangia mjadala

Rais Mstaafu Mhe Benjamin Mkapa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano katika mjadala

Kijana akichangia katika mjadala
Rais wa Sri Lanka na Dkt Mihaela Smith wakifuatilia mjadala



Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akisalimiana na vijana hao
Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
Wageni mbalimbali katika mkutano huo
Ujumbe wa Swaziland
Ujumbe wa Tanzania
Meza kuu
Meza kuu
Vijana nwa THT wakitumbuiza


Viongozi mbalimbali
THT wakitumbuiza
Meza kuu wakifurahia onesho la THT
Wanafunzi wakiimba kwa furaha

Meza kuu wakishangilia
Sehemu ya wageni

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wapili kushkto) akizungumza na Wabunge kutoka kulia, John Cheyo Bariadi Mashariki (UDP), James Mbatia wa kuteuliwa  (NCCR Mageuzi) na Mansoor Shanif Hiran  mbunge wa Kwimba (CCM) nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.Kushoto ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akisalimiana na Mkurugenzi wa Masama Promotion, Alex Msama nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 27,2013.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla (kulia) akifurahia jambo na Mbunge wa Mbeya Mjini na Waziri Kivuli wa Wizara hiyo kutoka Kambi ya Upinzani Bungeni, Joseph Mbilinyi nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Terezya Huvisa akisisitiza jambo wakati akiongea na wapigapicha za Habari nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo. Mazungumzo makubwa yalikuwa juu ya Usafi hasa jiji la Dar es Salaam. Dk. Huvisa alisema jiji sasa litakuwa safi na tayari mkakati wao umekutana na ziara ya Rais Obama wa Marekani hivyo utakuwa endelevu. KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPO CHINI