Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 30, 2014

SMILEON KUWEZESHA WATEJA WAKE KUWA HEWANI MTANDAONI PALE KIFURUSHI CHA INTANET KINAPOKWISHA


Baadhi ya mahofisa wa Smile wakiwa na furaha uku wameshikili vipeperushi vinavyo onesha kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intanet kinapoisha
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa na kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Smile Edgar Mapunde



Baadhi ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini  maofisa wa Smile

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGE MAALUM LA KATIBA




      

PG4A0416Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Kapteni John Komba, Bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0440Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Pandu Ameir kificho (kushoto) na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi wakiteta, Bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0462Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Lazaro Nyarandu (kushoto) na Mwigulu Mchemba wakiteta, bungeni Mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0533Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza, Bungeni Mjini Dodoma Septembe 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0633 
Mwenyekiti  wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta akifafanua kuhusu namna wajumbe wa Bunge hilo watakavyopiga kura, bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0777Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Bernard Membe wakiteta kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

TAASISI YA VYOMBO VYA HABARI KUSINI MWA AFRIKA(MISA-TAN) YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUTOA MATOKEO YA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA‏‎





Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari waliofika kweye mkutano wao uliofanyika Jana kwenye ofisi za MISA Tanzania  zilizopo jijini Dar es Salaam kulia ni  Mkurugenzi msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew.
Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Jana imekutana na waandishi wa habari na wadau tofauti katika kuadhimisha Siku ya haki ya kupata taarifa kimataifa amabayo huadhimishwa kila mwaka Septemba 28.09.2014 katika ofisi zao zilizopo kinondoni Mkwajuni Jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti (kulia) akizungumza jambo mbele ya waandishi wa habari(hawapo pichani) kwenye siku ya kimataifa ya haki za kupata taarifa zinazoadhmishwa septemba 28 kwa kila mwaka.
 Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege  (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wagene waalikwa (hawapo pichani) kwenye siku ya kimataifa ya haki za kupata taarifa zinazoadhmishwa septemba 28 kwa kila mwaka. kwenye ofisi za MISA Tanzania  zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa chapicho la ripoti ya matumizi bora ya utoaji wa habari katika sekta za umma hapa nchini.
 Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akiwaonesha waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa kitabu cha ripoti ya haki ya kupata taarifa halali katika sekta za umma.

Sunday, September 28, 2014

NASSIBU RAMADHANI ADROO NA MOHAMED MATUMLA






Bondia Mohamed Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Nasibu Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam mpambano huo ulitoka droo za kufungana point Picha na SUPER D BLOG

Bondia Mohamed Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Nasibu Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam mpambano huo ulitoka droo za kufungana point Picha na SUPER D BLOG
Bondia Lulu Kayage akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fatuma Yazidu wakati wa mpambano wao Yazidu alishinda kwa pointi mpambano huo Picha na SUPER D BLOG
Mabondia wa kike Fatuma Yazidu kushoto na Lulu Kayage wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam Yazidu alishinda kwa point mpambano huo Picha na SUPER D BLOG
Mabondia wa kike Fatuma Yazidu kushoto na Lulu Kayage wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam Yazidu alishinda kwa point mpambano huo Picha na SUPER D BLOG
Mabondia wa kike Fatuma Yazidu kushoto na Lulu Kayage wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam Yazidu alishinda kwa point mpambano huo Picha na SUPER D BLOG
Bondia Lulu Kayage akilalamikia matokeo ya kupigwa na Fatuma Yazidu kulia ni bondia Ibrahimi Class 'King Class Mawe' Picha na SUPER D BLOG
Mabondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  kushoto na Shomari Milundi wakifuatilia mpambano huo pamoja na mashabiki mbalimbali
Mabondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  kushoto na Shomari Milundi wakifuatilia mpambano huo
 
Mabondia Juma Bigilee kushoto,Ibrahimu Class ; King Class Mawe' na Rashidi Mhamila wakiwa katika pozi baada ya mchezo kwumalizika

SIMBA YATOSHANA NGUVU YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA POLISI MOROGORO



Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akishangilia bao aliloifungia timu yake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Polisi ya Morogoro uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Ramadhani Singano 'Messi'
Golikipa wa Polisi Morogoro, Abdul Ibad akijaribu kuokoa bila mafanikio kiki iliyopigwa na mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Golikipa wa Polisi Morogoro, Abdul Ibad akijaribu kuokoa bila mafanikio kiki iliyopigwa na mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. 
 Okwi akiipangua ngome ya Polisi Moro.
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Polisi Morogoro, Lulanga Mapunda wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


 Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe akiwa katikati ya wachezaji wa Polisi Morogoro,  Lulanga Mapunda (kushoto) na golikipa wa timu hiyo, Abdul Ibad  wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe akiwa katikati ya wachezaji wa Polisi Morogoro,  Lulanga Mapunda (kushoto) na golikipa wa timu hiyo, Abdul Ibad  wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Kipa wa Polisi Moro akipata matibabu baada ya kuuimia.Picha na Francis Dande,Globu ya Jamii.

MASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO


 Kamishina Mkuu Msaidizi Programu ya Vijana wa Chama cha Skauti Tanzania (TSA), Mary Anyitike (kushoto), akimvisha  Nishani ya Skauta, Safi Shabani kiongozi wa Skauti kutoka  Shule ya Sekondari Lugoba iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani wakati wa hafla ya kufunga mashindano hayo jana.
 Kamishina Mkuu Msaidizi wa Utawara Bora wa Chama cha Skauti Tanzania (TSA), Mwalimu mstaafu John Lusunike (kushoto), akikagua skauti kabla ya kuanza mashindano Septemba 23,2014. 
 Vijana wa Skauti wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa tayari kwa ukaguzi.
 Vijana wa Skauti wa Kikosi cha Simba kutoka Mkoa wa Morogoro ambao walikuwa washindi wa Mashindano ya Skauti katika nchi za Afrika Mashariki yaliyofanyika nchini Burundi mwaka 2013 wakiwa tayari kwa ukaguzi huo kabla ya mashindano hayo yenye lengo la kuwapata washiriki katika mashindano ya Afrika Mashariki yatakayofanyika nchini Rwanda Desemba 2014.
 Vijana wa Skauti wakijifunza Kilimo Hai jinsi ya kuandaa shamba mfuko bila kutumia mbolea zisiso na kemikali.
 Vijana wa skauti wakiwa katika maandalizi ya kupangiwa kazi.
 Vijana wa skauti wakionesha namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyepoteza fahamu.
 Hapa vijana wa skauti wakipika chai wakiwa juu ya mti.
 Vijana wa skauti wakijadili maswali ya kazi walizopewa.
 Hapa wakiwa wamepumzika kwenye vitanda vya miti.
 Vijana hao wakisubiri kupatiwa maelekezo na viongozi wao.

 Kamishina wa Skauti Mkoa wa Morogoro, Francis Gasper Francis kwa niaba ya Kamisha Mkuu wa TSA, akimuapisha Kamishina wa Wilaya ya Kilosa ndugu Miraji.

Friday, September 26, 2014

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA JUMAMOSI SEPTEMBE 27 KESHO


 Bondia Nasibu Ramadhani Kushoto akitunishiana misuli na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho jumamosi september 27 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BLOG
Mratibu wa mpambano wa ngumi Ibrahimu Kamwe katikati akiwangalia mabondia wa kike Lulu Kayage kushoto na Fatuma Yazidu wanavyo tunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao
Lulu Kayage na Fatuma Yazidu wakitambiana baada ya kupima uzito
Bondia Nassibu Ramadhani akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Mohamedi Matumla
Mohamed Matumla akipima uzito
Bondia Nassibu Ramadhani na Mohamed Matumla wakinuliwa mikono juu na Mratibu wa mpambano huo Ibrahimu Kamwe katikati  mpambano utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Frends Corner Manzese picha na SUPER D BLOG
Bondia Juma Fundi na Issa Omari wakinuliwa mikono juu na Mratibu wa mpambano huo Ibrahimu Kamwe katikati  mpambano utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Frends Corner Manzese picha na SUPER D BLOG
Bondia Lulu Kayage akipimwa na Daktali baada ya kupima uzito kushoto ni m,pinzani wake Fatuma Yazidu