Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 24, 2015

ALLY BAKARI CHAMPION ACHUKUWA JIKO



Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maendeo ya Vingunguti Dar es salaam


Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maendeo ya Vingunguti Dar es salaam

BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR





Na Mwandishi Wetu 

BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokez kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto

bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya mwingine 

alitolea mfano wa mabondia wanaotamba Dar es salaam kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe kila wakati ni Lulu Kayage,Halima Ramadhani, Fatuma Yazidu

sasa wakae foleni kwani atawapa vipigo mmoja baada ya mwingine bondia uyo mpaka sasa amecheza michezo mitatu ambapo mchezo wake wa kwanza alicheza na Vailet Modest na kufanikiwa kumtwanga kwa point mchezo wake wa pili alicheza na Telesia Kiwale na mchezo wake wa tatu alicheza na Jennifer Pius na kumsambalatisha kwa pointi

hivyo amewaomba mapromota wajitokeza kumsaidi kupambanishwa na mambondia aliowataja hapo juu kwa uzito wa kg 49

mbali na hivyo ametowa wito kwa tasisi mbalimbali pamoja na kmpuni kujitokeza kudhamini mchezo wa masumbwi kwani unapendwa na mashabiki lukuki nchini

BALOZI MISS KILIMANJARO KUTAFUTWA MWEZI UJAO KATIKA UKUMBI WA KILI HOME RESORT



Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika julay 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika pozi wakati wa utambulisho wa mashindano hayo
Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika julay 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika pozi wakati wa utambulisho wa mashindano hayo

Mlatibu wa mashindano ya urembo ya Kilimanjaro Ambassador Jacqueline Chuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mchuano huo utakaofanyika katika ukumb wa Kili Home Resort

Saturday, June 20, 2015

BENKI YA CRDB YAKABIDHI PASSO KWA MSHINDI WA SHINDANO LA 'Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo'


Mshindi wa Promosheni ya 'Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo' Mwinyi Khamis Juma mkazi wa Mbalali mkoani Mbeya, akipunga mkono baada ya kukabidhiwa zawadi yake katika hafla iliyofanyika mkoani Mbeya juzi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Mkoa wa Mbeya, Benson Mwakyusa na Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa. (Na Mpiga Picha Wetu) 
Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (aliyeshika mfano wa ufunguo) akizungumza neno muda mfupi kabla ya makabidhiano wa zawadi ya Passo kwa mshindi wa Mkoa wa Mbeya, Mwinyi Khamis Juma. Kushoto ni Meneja wa Benki hiyo tawi la Mwanjelwa, Ephraim Lwila na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Sumbawanga, Colnerius Msigwa (kulia) 
 Mshindi wa Shindano la "Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo" Mwinyi Khamis Juma mkazi wa Mbalali mkoani Mbeya, kiushukuru uongozi wa Benki ya CRDB baada ya kuibuka mshindi wa Promosheni ya Shindano la 'Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo' inayoendeshwa na benki ya CRDB. Kulia ni Meneja wa Benki hiyo tawi la Mwanjelwa, Ephraim Lwila. 

Monday, June 8, 2015

NGUMI KUFANYIKA TENA BAGAMOYO JUMAPILI JUNI 14


Na Mwandishi Wetu

MPAMBANO mkali wa masumbwi unatarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii juni 144 katika ukumbi wa TASUBA Bagamoyo mjini mpambano uho utakaowakutanisha mabondia Iddi Pialali wa Kiwangwa Bagamoyo na Sweet Kalulu wa Dar es salaam

akizungumzia mpambano uho mratibu Muhsini Sharif amesema pambano hili litakuwa la raundi sita uzito wa kg 63 mbali na mpambano uho kutakuwa na mipambano mingine ya kumaliza ubisha kati ya Adam Ngange wa Chanika na Mfaume Mfaume kg 61 pamoja na Abdallah Pazi 'Mfalme wa wazalamu' na Mrisho Rajabu 'Dame' kg 74 wa kawe mpambano mwingine ni kati ya Raymond Mbwago na Halidi Hongo kg 63

aliongeza kwa kusema kuwa pia siku hiyo kutakuwa na burudani za nguvu kutoka kwa wasanii Sam Wa Ukweli na Jumanne Iddi ndio watakaotoa burudani kwa siku hiyo

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

MPAMBANO WA VICENT MBILINYI NA SAID MUNDI ULIVYOPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA


Bondia Said Mundi kulia akimtupia konde Vicent Mbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliopita Mundi alishinda kwa point mpmbano uho wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Vicent Mbilinyi kushoto na Said Mundi wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika wishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa taifa Mundi alishinda kwa point  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Vicent Mbilinyi kushoto na Said Mundi wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika wishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa taifa Mundi alishinda kwa point  Picha na SUPER D BOXING NEWS

MBILINYI KUSHOTO NA MUNDI KULIA WAKISUBILI MATOKEO

Bondia Abdallah Pazi kushoto akipambana na Ibrahimu Tamba wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita  SUPER D BOXING NEWS

Friday, June 5, 2015

MABONDIA VICENT MBILINYI NA SAID MUNDI WA TANGA KUPIGANA KESHO UWANJA WA NDANI WA TAIFA




Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Said Mundi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpaqmbano wao wa kesho jumamosi utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akipozi kigagwe na Said Mundi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumamosi ya juni 6 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
 Bondia Vicent Mbilinyi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Said Mundi wa Tanga kushoto ni mratibu wa mpambano uho Antony Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Said Mundi wa Tanga akipima uzito kwa ajili ya mpambano weake na Vicent Mbilinyi kushoto ni Anton Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS

Thursday, June 4, 2015

BONDIA FRANSIC MIYEYUSHO KUPANDA ULINGONI KUMKABILI MGANDA JUNE 13


Na Mwandishi Wetu

BONDIA Fransic Miyeyusho  'Chichi Mawe' atapanda tena ulingoni june 13 katika ukumbi wa Fruends Corner manzese kuzidunda na Mbaraka Seguye wa Uganda katika mpambano wa raund nane uzito wa Frather Weight

bondia huyo mkongwe alimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa sasa yupo fiti na matalajio yake kumpiga kwa K,O mbaya sana mgnda uyo ya raundi ya sita aliwashukuru baadhi ya wadau mbalimbali waliompatia sapoti ya kmbi yake akiwemo Evans Shayo ambaye ni mfanya biashara maarufu wilaya ya Kinondoni kwa kumudumia kambi yake ya maandalizi na Group Agent pamoja wadau wa Ze Bonga waliopo Kinondoni

bondia huo anaingia ulingoni akiwa na kumbukumbu ya kupigwa kwa point na Fadhili majia katika mpambano uliofanyika feb 28

ata hivyo aliwapa uwakika zaidi wa kushinda mpambano uho wa raundi nane katika mpambano uho kuta kuwa na mpambano mwingine wa kimataifa utakaowakutanisha bondia Haji Juma wa Tanga atakae pambana na  Remmy Igga wa Uganda mpambano wa raundi sita Bantam Weight na mpambano mwingine utawakutanisha 

bondia Mada Maugo na Jacobo Maganga katika uzito wa KG 76 mpambano wa raundi kumi Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

BONDIA MRISHO RAJABU 'DAME' ATAMBA KUMCHAKAZA ABDALLAH PAZI JUNE 14 BAGAMOYO




Na Mwandishi wetu
Bondia Mrisho Rajabu 'Dame' amempania kumchakaza katika raundi za awali bondia Abdalla Pazi 'Mfalme wa Wazalamu' katika mpambano wao wa raundi sita utakaofanyika katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo mjini juni 14

Rajabu amesema atahakikisha awapi tabu majaji kwa kumsambalatisha kwa K,O ya raundi za awali wakati wa mpambano wao ambao umevuta isia za watu wengi wa Dar es salaam na mkoa wa Pwani

siku hiyo pia kutakuwa na mapambano ya utangulizi ambapo Iddi Pialali 'Simba aliyejeruiwa' atapambana na Sweet Kalulu

wakati Raymond Mbwago atavaana na Halidi Honga na mchezo mwingine mkali zaidi utawakutanisha Mfaume Mfaume wa Manzese na Adam Ngane wa Chanika  pamoja na mipambano mingine mbalimbali 

siku hiyo pia kutapambwa nja burudani kutoka kwa Jumanne Iddi pamoja na Sam wa Ukweli watakaopamba jukwaa hilo kwa ajili ya burudani za muziki wa kizazi kipyaa 

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

Monday, June 1, 2015

NGUMI KUFANYIKA TENA BAGAMOYO JUNE 14 UKUMBI WA TASUBA



Na Mwandishi Wetu

NGUMI kupigwa tena Bagamoyo mpambano mkali wa masumbwi utakao wakutanisha Mfaume Mfaume wa Manzese pamoja na Adam Ngange wa Chanika utafanyika Bagamoyo katika ukumbi wa TASUBA siku ya june 14 ambapo watasindikizwa na mipambano mingine mikali siku hiyo

bondia Iddi Pialali 'Simba Aliyejeluiwa' atapambana na Sweet Kalulu wakati Raymond Mbwago atapambana na Haridi Hongo na Ramadhani Sebe atakabiliana na Said Kassim mpambano mwingine utakuwa ni kati ya bondia Abdalla Pazi' Mfalme wa wazalamu' atakae pambana na Haridi Van Dame' wa Kawe

siku hiyo pia kutakuwa na burudani za mziki wa kizazi kipya ambapo msanii Jumanne Iddi na Sam wa ukweli ambao watapamba burudani za mchezo uho wa masumbwi

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

BONDIA FRANCIS CHEKA ALIVYO MSAMBALATISHA MTHAILAND KWA T.K.O YA RAUNDI YA NANE



 Bondia Francis Cheka kulia akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Picha na SUPER D BOXING NEWS
 Bondia Francis Cheka kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde  na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Shabani Kaoneka kulia akimtupia konde la nguvu Zumba kukwe wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kaoneka alishinda mpambano uho kwa point Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Seleman Zugo kushoto akipambana na Twaha Kiduku wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila akiwa na wadau wa masumbwi
Kocha wa Kimataifa wa Mchezo0 wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na wadau mbalimbali akiwemo kaka yake wa pili kushoto Shabani Mhamila 'Star Boy' wakishudia mpambano wa cheka
Bondia Francis Cheka kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde  na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Picha na SUPER D BOXING NEWS