Tuesday, August 18, 2009

SIKU YANGA WALIPOFULIA KWA MTIBWA, NGAO YA HISANI IKAENDA MORO!


Makamu wa pili wa Raisi wa shirikisho la kandanda Tanzania Ramadhani Nasib akimkabidhi kapteni wa klabu ya soka ya Mtibwa Suger NGAO YA HISANI
Kushinda raha bwana asikwambie mtu, cheki jamaa wanavyofurahia ubingwa wa kihistoria kwa mara ya kwanza halafu wanatwaa Ngao ya Hisani!
Kado naye alifanya kazi kubwa kulinda lango la Mtibwa
Hapa haendi mtu!

1 comment: