Tuesday, March 26, 2013

WABUNGE ZITTO KABWE, IDD AZAN NA WENZAO WAHITIMU MAFUNZO YA AWALI YA JKT KAMBI YA MGAMBO 835KJ



Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe pamoja na Wabunge wenzake kadhaa vijana leo wamemaliza rasmi mafunzo yao ya awali ya JKT katika kambi ya Mgambo 835 KJ iliyopo Mkoani Tanga.

Pichani juu ni Zitto Kabwe akijiandaa kwenda katika gwaride la mwisho na picha chini akiwa shambani pamoja na Mbunge mwenzake  Iddi Azan, Abdallah haji, Raya Ibrahim na Antony Mbassa wakiwa katika kambi ya Mgambo 835KJ.

 Zitto Kabwe, amesema amefurahishwa na mazoezi na mafunzo yatolewayo ya kambi hiyo na kuwapongeza wale wote waliyowahi kupia mafunzo hayo ambapo leo anahitimisha  mafunzo hayo na kujiwekea historia ya kubwa katika maisha yake.
Baadhi ya Wabunge waliohitimu mafunzo hayoleohii, Zitto Kabwe, Iddi Azan, Abdallah haji, Raya Ibrahim na Antony Mbassa, wakiwa katika moja ya shamba darasa la kambi hiyo.

2 comments:

  1. I do not even understand how I ended up here, but I assumed this publish
    was good. I don't recognise who you are however certainly you're going to a famous blogger should you are not
    already. Cheers!

    My site :: bad credit manufactured home loan

    ReplyDelete
  2. Exceptional post however I was wondering if you
    could write a litte more on this subject? I'd be very thankful if you could elaborate a little bit further. Thanks!

    Feel free to visit my site - click through the next post

    ReplyDelete