
Mfanyakazi wa Kampuni ya Selcom Bi.Judith Mtui (kushoto) akibonyeza kitufe cha kompyuta kwa ajiri ya kutafuta washindi saba wa Kismat SMS bahati nasibu ya Taifa, anaeshughudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini Bw.Abdallah Ahmed na Meneja masoko wa Kampuni ya Selcom,Juma Mgori, ambao ni waendeshaji wa Bahati nasibu hiyo.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment