Sunday, August 30, 2009

MATOKEO YA LIGI KUU TANZANIA BARA 29, AGOSTI 2009


Mchezaji wa Bernad Nguya wa Manyema United akimtoka Athumani Idd wakati wa mchezo wa ligi ya vodacom mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana,Yanga ilishinda bao3-0.Amir Maftah wa Yanga (kulia) akimtoka mchezaji wa timu ya Manyema United Sixbart Mohamed kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana ,Yanga ilishinda bao 3-0.
Yanga 3 - 0 Manyema Rangers

Jery Tegete dk 24, 83
Mike Barasa dk 45 (pt)

Tanzania Prison 0 - 1 Tanzania Prison

David Naftali dk 72

Maji Maji 0 - 1 JKT Ruvu

Hussein Bunu

No comments:

Post a Comment