Monday, August 31, 2009

MSONDO KAZINI!!!

Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma music, kushoto ni Rashidi Mwezingo 'Silver Boy' na Isihaka Katima 'Dj Papa upanga', wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Afri center.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment