Tuesday, September 15, 2009

MOHAMMED MPAKANJIA AZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU DAR ES SALAAM

Baadhi ya waombolezaji wa Msiba wa Mohammed Mpakanjia wakiswalia jeneza kabla ya kwenda kuzika katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza la marehamu Mohammed Mpakanjia kwa ajiri ya kwenda kuzika katika makaburi ya kisutu Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment