
Mkurugenzi wa Canadian Diamond Traders Inc Jihad Waterman akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na kutapeliwa baada ya kuingia mkataba hewa wa madini na watu wasiyojulikana jijini Dar es Salaam na kumlazimu kufungua kesi ambayo inasikilizwa katika mahakama ya Wilaya ya Temeke. Picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super D Mnyamwezi
No comments:
Post a Comment