Wednesday, September 16, 2009

RAS JIHAD WATERMAN WA CANADA ASAINISHWA MKATABA HEWA WA MADINI NA WABONGO

Mkurugenzi wa Canadian Diamond Traders Inc Jihad Waterman akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na kutapeliwa baada ya kuingia mkataba hewa wa madini na watu wasiyojulikana jijini Dar es Salaam na kumlazimu kufungua kesi ambayo inasikilizwa katika mahakama ya Wilaya ya Temeke. Picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super D Mnyamwezi

No comments:

Post a Comment