Thursday, September 17, 2009

WAZEE WA VIWANJANI NA IVO MAPUNDA

Baadhi ya wadau wakuu wa glob ya Viwanjani wakiwa katika picha ya pamoja na Bwana Harusi mtarajiwa na Golikipa Maarufu nchini Tanzania Ivo Mapunda,Mara baada ya kutoka katika kipindi cha VIWANJANI kinachorushwa na Radio Times FM kila Jumapili kuanzia saa sita kamili mchana hadi saa saba kamili mchana.Kutoka kushoto ni Rajabu Mhamila,Amri Masare na Zahoro Mlanzi kulia.

No comments:

Post a Comment