
Mwandishi wa Vitabu vya Ujasiriamali na Muhazili Chuo Kikuu cha Elimu ya Biashara Bi.Mariam Tambwe (kulia) akizindua vitabu vinne vya ujasiria mali katika ukumbi wa Idara ya Habari na Maelezo Dar es salaam, kushoto ni Ofisa Uhusiano wake na Mtangazaji wa Kipindi cha Siesta Maisha Radio Times FM, Bi. Hawa Hassani.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment