
Ofisa wa Kampuni ya Zain Bi.Eleanora Maruma (kushoto) akibonyeza kitufe kwa ajili ya kutafuta mshindi wa kwanza wa Promosheni ya 'Shinda na Zap' iliyofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki anaeshughudia wapili kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bw.Emanuel Ndaki na Ofisa wa Mawasiliano ya Ndani wa Kampuni ya Zain Bi. Dangio Kaniki.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment