Thursday, October 8, 2009

TID KUZINDUA SAUTI YA JELA JUMAPILI CLUB BILICANAS

NATAFUTA PEEEEEESA, EEEEEEEEH ASHAA...
JAMANI TUKAMUUNGE MKONO TID KATIKA UZINDUZI WA SAUTI YA JELA (PRISON VOICE)
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya Khalid Mohammed TID akiimba mbele ya waandishi wa habari wakati akizungumzia uzinduzi wa albamu yake mpya ya SAUTI YA JELA (PRISON VOICE) uzinduzi ambao utafanyika siku ya Jumapili katika ukumbi wa klabu Bilicanas jijini Dar es Salaam, kushoto ni meneja masoko wa klabu hiyo Antoni KizitoMsanii Khalid Mohamed 'tid' akiangali blog ya viwanjani wakati alipotambulisha uzinduzi wa albamu yake ambao utafanyika jumapili katika clabu ya bilicanas jijini Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila super D Mnyamwezi)

No comments:

Post a Comment