Friday, October 23, 2009

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA - CUF

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wanachi (CUF) Bw. Juma Duni Haji (kulia) akimnjosha mkono juu kumtambulisha kwa wananchi mgombea wa ujumbe wa Serikali ya mtaa wa Kunduchi Bw. Ally Mbawe, wakati wa kampeni zilizofanyika Tegeta Dar es salaam juzi.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment