
Msanii Mrisho Mpoto (Mjomba) kushoto akiimba wakati wa utambulisho wa onesho la HIP HOP litakalofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Diamond Jublie (kulia) ni Msanii Ismail Shabani, wasanii wengine watakao pafom ni pamoja na TMK Wanaume Halisi, Prof Jay, Fid Q, Best Friends Dance Show.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment