Thursday, October 8, 2009

UWAMADA WAKUTANA NA MKURUGENZI

Mkurungenzi wa Manspaa ya Ilala Bw.Gabeuz Fuime (kulia) akioneshwa moja ya barua za wanachama cha Umoja wa wauza samaki Dar es salaam UWAMADA na Katibu wa soko la feri Bi. Elifrida Mwambu 'mama kasanda' alipofanya kikao na wauzaji hawo wa samaki leo katikati ni Alhaji Makamba.(PIcha na Rajabu Mhamila super D Mnyamwezi)

No comments:

Post a Comment