Tuesday, January 12, 2010

GOFU YA FANA

Mchezaji wa mchezo wa Gofu, Moses Namuhisa, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya mwishoni mwa wiki yanayohandaliwa na kampuni ya Zain yaliyofanyika katika viwanja vya Lugalo Dar es salaami.(Picha na Rajabu Mhamila)Mchezaji wa mchezo wa Gofu,
Mohamed Lwehimamu, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya mwishoni mwa wiki yanayohandaliwa na kampuni ya Zain yaliyofanyika katika viwanja vya Lugalo Dar es salaam.(Picha na Rajabu MhamilaSayore akiwajibika katika gofu

No comments:

Post a Comment