
Meneja Huduma za Zap wa Kampuni ya Zain Bw. Deo Talimo (kulia) akitoa maelekezo ya jinsi ya kununuwa mafuta katika vituo vya OILCOM wakati wa uzinduzi wa kutumia huduma za Zap kununulia mafuta Dar es Salaam anaeshughudia kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Bw.Costantino Magavilla na Ofisa.Bw. Abdi Adam.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment