Tuesday, February 16, 2010

MIPANGO YA KILI MARATHON 2010 YAIVA

Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari jijini leo kuhusu mbio za nyika za 2010 ambazo zitafanyika mwishoni wa mwezi wa Februari 2010 mkoani Kilimanjaro. kulia ni Meneja ya Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.
Mbio hizo za nyika zimedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Vodacom Tanazania pamoja na makampuni mengine nchini ikiwemo kampuni ya KK Security,Tanga Cement. Good Year, Kilimanjaro Water,Tanzanite One, DT Dobie Tanzania, TPC, New Africa Hotel na Keys Hotel, jumla ya shilingi milioni 22 zitashindaniwa na wanariadha mabimbali wanaotarajiwa kushiriki katika mbio hizo .

No comments:

Post a Comment