
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Zain Bwa. Kelvin Twissa, Ofisa Mwandamizi wa Kampuni hiyo Afrika na Mkurugenzi, Khaled Muktad, wakionesha vipeperushi wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya 'Nipe Nikupe' ambapo mteja atapata nyongeza ya muda wa maongezi kadri atumiavyo, Dar es Salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment