Mwenyekiti wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani kulia pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni hiyo Shantanu Chitgopkar wakionyesha mfano wa bia ya Uhuru Peak Lager jana mara baada ya kuzinduliwa rasmi jijini Dar es salaam kwenye Hoteli ya Movenpick, bia hiyo kwa sasa inapatikana kwenye baa mbalimbali na ina kilevi asilimia 5.8 haya kazi kwenu watumiaji wa kilaji endeleeni kujimwaga na Uhuru Peak Lager
Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars Marcio Maximo akiwa na maiwaifu wake.
DAKTARI BINGWA WA USINGIZI MUHIMBILI ZHANG JUNQIAO AFARIKI DUNIA
-
Na Malisa GJ
Tumempoteza daktari Bingwa wa dawa za usingizi Hospitali ya Taifa
Muhimbili. Dkt.Zhang Junqiao (38) amefariki juzi tarehe 15 Juni 2025 huko...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment