Wednesday, August 18, 2010

YANGA OYEEEEEEEEEEEE

YANGA JUUUUU YATWAA NGAO YA JAMII KWA KUIFUNGA SIMBA KWA MIKWAJU YA PENATI MITATU KWA MOJA

Nahodha wa yanga mbuna akiwa ambeba nago ya jamii mara baada ya kukabidhiwa
ngao ya jamii ikiwa imeshikwa na baadhi ya viongozi wa yanga katikati ni makamu mwenyekiti wa yanga davis ,kulia doctor na baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji
baada ya kazi ngumu vijana wa jangwani wafurahi na ngao ya hisani
Uhuru suleiman akimbebeleza mmoja wa wachezaji wa simba baada ya simba kufungwa katika mchezo wa ngao ya jamii

No comments:

Post a Comment