Sunday, April 10, 2011

TIMU YA VIJAN U23 WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA



Wachezaji wa timu ya vijana ya U23 wakiwa wamebeba uga wa ngano kwa ajili ya watoto yatima katika kituo kilichopo magomeni
Kocha wa timu ya vija JULIO akiongea mara baada ya kukabidhi msaada kwa watoto yatima
Wachezaji wakiingiza ndani msaada huo

NGASA akiwa amembeba mmoja wa watoto yatima mara baada ya kufika katika kituo hicho
Wachezaji wakiendelea kushusha mzigo

No comments:

Post a Comment