Sunday, May 8, 2011

NASIBU AMTWANGA JUMA FUNDI


Nasibu Ramadhani (kushoto) akipambana na Juma Fundi wakati wa mpambano wao wa kugombania ubingwa lililopigwa raundi 12 na Nasibu kuibuka na ushindi kwa point
Mashabiki wakiendelea kumpa sapoti Juma Fundi
mpambano unaendelea
Juma Fundi (kushoto) na Nasibu Ramadhani wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa pambano lao Dar es salaam jana

mashabiki wakiangalia mpambano

No comments:

Post a Comment