Afisa Elimu Mwandamizi wa wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Nyambega Salum (kulia) akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa shule ya Sekondary ya Mkonjowano, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondar
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
13 hours ago
No comments :
Post a Comment