
Mmoja wa wachezaji wa Motema Pembe akificha sura mbele ya kamera ya Nkoromo Daily Blog, timu hiyo ilipowasili leo jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Haikuweza kufahamika kwa nini aliamua kufanya hivyo pengine kikwao ina maana fulani.
No comments:
Post a Comment