Thursday, July 21, 2011

KAMBI YA ILALA YAKABIZIWA MAJI KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAPILI JULAI 17








Rajabu Mhamila Super D Boxing Coach akiwa pamoja na Amir Mohamedi ' Msauzi' baada ya kukabidhi maji katoni 15 alizokabidhi kwa niaba ya Muddy Kalla Mtoto wa Ilala

Super D Boxing Coach akipokea maji toka kwa Amir Mohamedi ' Msauzi' baada ya kukabidhi maji katoni 15 alizokabidhi kwa niaba ya Muddy Kalla Mtoto wa Ilala



Baadhi ya vijana wanaonolewa na kambi ya Ilala wakiwa mazoezini

No comments:

Post a Comment