Tuesday, October 11, 2011

HUSSEIN MACHOZI SASA SPEED 160 KUPANDA KWENYE CHAT


Msanii wa nyimbo za kizazi kipya,Hussein Machozi akiimba wakati wa onyesho la Extra Bongo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Akiimba sambamba na mashabiki

No comments:

Post a Comment