Tuesday, October 11, 2011

WAFANYABIASHARA WAJITOKEZA KUCHANGIA ULINZI DAR ES SALAAM





Mkurugenzi wa Mashujaa Group Sakina Mbange 'Mamaa Sakina' akizungumza na wana habari
Waziri wa mambo ya ndani, Shamsi Vuai Naodha akisalimiana na baadhi ya wanakamati walioteuliwa kwa ajili ya ulinzi wa jiji la Dar es salaam



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Naodha (kushoto) akipokea pesa taslim milioni mbili kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mashujaa Group, Bi. Sakina Mbange 'mama Sakina' katika wa kuchangia kazi za ulinzi na usalama katika kanda maalum ya polisi Dar es salaam jana










Baadhi ya wafanyabiashara waliojitokeza kuchangia ulinzi











mama sakina akitoa mkwanja

No comments:

Post a Comment