Thursday, October 13, 2011

WASHINDI WA SHINDANO LA KULA 5 LA STAR TIMES WAPATIKANA




Mfanyakazi wa Star Times akizungumza na mwandishi wa habari wa Mwanachi

mwandishi wa hari wa gazeti la mwananchi akibonyeza kitufe




Ofisa wa Star Times akielezea jinsi walivyopata matatizo ya kuungua kwa Trasfoma lao na kulekebisha haraka ambapo wateja wote wa Star times watatumia huduma hiyo bule kwa mda wa siku tatu mfululizo





waaandishi wakielekezwa wakati walipotembelea chumba cha kurusha matangazo




wafanyakazi wa Star Times kitengo cha kurusha matangazo wakiendelea na kazi yao






mshindi anatafutwa







Balozi wa Star Times STEVIN kANUMBA akiangalia mshindi





BALOZI WA STAR TIMES STIVEN KANUMBA AKIBONYEZA KITUFE CHA KUSAKA MSHINDI






MSHINDI LAZIMA APATIKANE






No comments:

Post a Comment