Saturday, December 10, 2011

kampuni ya tigo yatoa burudani coco beach kesho tena





Mmoja ya wahereheshaji akigawa zawadi mbalimbali leo

Msanii wa Free Stair Ashiraf Adam akifanya makamuzi ya ke katika viwanja vya coco leo



makamuzi yakiendelea




zawadi kibao kwa watija wa Tigo




Msanii akitoa burudani si mchezo



Burudani zinaendelea




burudan mwanzo mwisho kesho ndio funika bovu ndani ya coco beach kiingilio ni miguu yako tu usikose




burudani kwa watu wanaopenda kucheza kwa ajili ya kuonesha umaili wao




mambo ya kiduku kama kawa





kiduku




watu kibao walikuwepo





watoto wakishindana kupuliza maputo ya tigo





burudani zilitolewa si mchezo




huduma za kila aina kutoka tigo zilikuwepo

No comments:

Post a Comment