Wednesday, February 15, 2012

KAMPUNI YA TIGO KUSAIDIA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA NEW LIFE ORPHANS HOME



Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bi. Alice Maro (kulia)
akila chakula cha mchana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha kulelea watoto hawo cha NEW LIFE ORPHANS HOME kilichopo Kigogo Dar es salaam leo



Msimamizi wa Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bw. Gaurdence Mushi katikati akila chakula cha mchana na watoto wa kituo hiko leo




Baadhi ya Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Life Orphans home wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya tigo







Watoto wakiwa na zawadi zao baada ya kukabidhiwa leo




Zawadi zikipangwa kwa ajili ya kuwapatia watoto wa katuo hiko leo



Burudan ya sarakasi ikitolewa


Meneja wa Huduma za Burudan wa Kampuni ya tigo Bw. David Zacharia kushoto akipokea risala kutoka kwa kaka mkuu wa kituo hiko Issa Athumani



Mkurugenzi wa Kituo hiko Bi.Mwanaisha Magambo akiwaonesha maofisa wa kampuni ya tigo sehemu mbalimbali wanazoishi watoto wa kituo hichoH





WAKIPATIWA MAELEZO KAMILI



No comments:

Post a Comment