Friday, March 30, 2012

KAMPUNI YA TIGO YAFUNGUA OFISI YA HUDUMA KWA WATEJA BAADA YA MATENGENEZO MAKUBWA MLIMANI CITY

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt, Cyril Chami akiwa
katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya tigo baada ya kuzindua ofisi
ya huduma kwa wateja baada ya matengenezo makubwa mlimani city leo

Waziri
wa Viwanda na Biashara Dkt Cyril Chami akipatiwa maelezo ya moja ya bidhaa za
simu zilizopo

simu
humeiona muheshimiwa
Waziri wa viwanda na biashara Dkt.Cyril Chami akikata
utepe kuashiria uzinduzi huo leo kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni
ya Tigo Bi.Hilda Damas
Msema Chochote Sauda Simba Kilumanga akionea

Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo waliokuwepo katika ufunguzi huo
wakiwa katika picha ya pamoja leo

No comments:

Post a Comment