Mama wa msani Wema Sepetu Mariam Sepetu, kulia ameibuka na kuseka kuwa
yupo tayali kupanda mahakamani pindi popote magazeti ya Udaku yatakapo
mwandika Wema akizungumza na Kipindi cha Take One cha Clous TV ameweka
wazi kuwa yupo tayari wakati wowote kupelekana Mahakama pindi gazeti
lolote litakalo mtoa Weka katika mambo mabaya na amesisitiza kuwa jamii
impende mwanae na kuwambia watu wa magazeti ya Udaku kuwa wamuache
mwanae kwa lolote lile juu ya mwanae na kumtaja mmoja wa waandishi wa
habari wa Global akimtaja Shakolo na kusema magazeti yote yanafanya
biashara kupitia mgongoni wa mwanae wema ambapo amedai kula nao saani
mojapindi watakapotoa picha za mwanae katika kurasa za mbele za magazeti
yakiuza kupitia yeye mtoto wake
VIKUNDI VYA WAKANDARASI WA NGUVU KAZI STAHIKI WATAKIWA KUCHANGAMKIA ZAIDI
YA BILIONI15 ZA TARURA DAR.
-
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA Mkoa wa Dar es
Salaam Mha. Geofrey Mkinga amevitaka vikundi maalumu vya Wakandarasi wa
nguvu ka...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment