Tuesday, July 24, 2012
SIMBA YATUPWA NJE YA MASHINDANO YA KOMBE LA KAGAME
Mshambuliaji wa Simba, Uhuru Suleiman (kulia) akichuana na beki wa Azam, Said Moradi wakati wa mchezo huo leo.
Kipa wa Azam,Deogratius Munisi akiondoa hatari iliyokuwa ikielekea langoni kwake
Mshambuliaji wa Azam,Kipre Tchetche akiwazungusha Mabeki wa Simba katika mchezo wao uliopigwa jioni hii Uwanja wa Taifa Jijini Dar
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment