Tuesday, July 24, 2012

SIMBA YATUPWA NJE YA MASHINDANO YA KOMBE LA KAGAME




Mshambuliaji wa Simba, Uhuru Suleiman (kulia) akichuana na beki wa Azam, Said Moradi wakati wa mchezo huo leo.
 Kipa wa Azam,Deogratius Munisi akiondoa hatari iliyokuwa ikielekea langoni kwake
Mshambuliaji wa Azam,Kipre Tchetche akiwazungusha Mabeki wa Simba katika mchezo wao uliopigwa jioni hii Uwanja wa Taifa Jijini Dar

No comments:

Post a Comment