Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akipeana mkono na
Mbunge wa Sunve, Richard Ndassa baada ya kukabidhi msaada wa madawati na
viti vyenye thamani ya sh. milioni 5 kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya
Sunve. Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Sunve, Edna
Kingu. Hafla hiyo ilifanyika wilayani Kwimba, Mwanza
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
18 hours ago
No comments :
Post a Comment